View
Tube
search
Sign in
Sign up
Subscriptions
NTV Kenya
NTV Adhuhuri
26,328 views
3,309 items
Updated today
public playlist
NTV Kenya
2:05
Mkenya Bilal Mohamed ashinda ubingwa wa Afrika wa mchezo wa kielektroniki jijini Lagos, Nigeria
NTV Kenya
1:36
Mashindano ya riadha ya NYS kaunti ya Machakos
NTV Kenya
1:41
Mafuriko: Wabunge wasema shule na barabara zilizoathirika zitajengwa upya
NTV Kenya
2:46
Mombasa: Wavuvi na mwekezaji wapigania sehemu ya ufuo wa bahari kisiwani
NTV Kenya
2:46
Homa Bay: Wanafunzi wa kike wanaoishi katika kambi za waathiriwa wa mafuriko wahofia kupewa mimba
NTV Kenya
1:45
Kenya imetishia kujiuzulu katika mazungumzo ya kujadili mabadiliko ya hali ya hewa
NTV Kenya
0:41
Bomet: Zaidi ya famila 50 kutoka kijiji cha Riverside zalazimika kuhama makwao kufuatia mafuriko
NTV Kenya
2:36
Watu watatu waaga dunia Turkana na 1,000 kupoteza makao Baringo baada ya mito kuvunja kingo
NTV Kenya
0:55
Wasanii wa uigizaji na mziki wanatumiwa kama wajumbe wa kueneza hamasisho kuhusu afya ya jamii
NTV Kenya
1:07
Mbunge Alice Ng'ang'a ameapa kwamba mswada uliowasilishwa bungeni kuhusu walemavu unapitishwa
NTV Kenya
1:15
Kikundi cha wanawake Narok kimekuwa kikitumia upandaji miti kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia
NTV Kenya
1:12
Gavana Barasa amewataka wakulima kuzingatia faida na manufaa yanayotokana na mbolea ya ruzuku
NTV Kenya
3:41
Takriban familia 200 eneo la Molo na Uthiru zimelazimika kuhama makwao baada ya mafuriko
NTV Kenya
1:25
Wakenya wanatarajia Rais kutoa mwongozo kuhusu mbinu mwafaka za kupambana na athari za mafuriko
NTV Kenya
1:11
Maafisa wa polisi wameungana na wahisani wa Oshwal kutoa msaada kwa walioathirika na mafuriko
NTV Kenya
1:06
Shughuli za uvuvi katika Bahari Hindi zapigwa marufuku kufuatia uwezekano wa kimbunga kutokea
NTV Kenya
2:05
Rais awataka mkuu na makamanda wapya wa jeshi kuendeleza sifa za utiifu, uwajibikaji na utaalamu
NTV Kenya
1:45
Aaron Kipkoech na Ruth Gaitho washinda makala ya kwanza ya mbio za Kitengela
NTV Kenya
1:29
Thunder ni vinara wa ligi ya shirikisho la mpira wa kikapu
NTV Kenya
1:31
Familia 300 mtaa wa Gachie, Kiambu zinahofia mkurupuko
NTV Kenya
2:35
Watu 179 wameuawa na mafuriko kote chini
NTV Kenya
3:36
Upasuaji wa maiti zilizotambulika unaendelea Mai Mahiu
NTV Kenya
1:21
Spika Moses Wetang'ula aidhinisha ombi la kumbandua Mithika Linturi
NTV Kenya
1:05
Sheria
NTV Kenya
0:45
Jenerali Charles Kahariri ateuliwa mkuu wa majeshi, Omenda naibu wake
NTV Kenya
4:47
Mkaguzi maiti Johansen Oduor aanza kukagua maiti ya waliofariki katika mkasa wa gharika la Mai Mahiu
NTV Kenya
1:30
Sitisha shughuli za ubomozi wa makao: Mbunge wa Embakasi kusini Musili Mawathe aambia serikali
NTV Kenya
1:52
Walimu wa sekondari Kaunti ya Nandi na Uasin Gishu kushinikiza tume ya TSC kuwaajiri kirasmi
NTV Kenya
1:02
Kikao maalum na baraza la mawaziri kuangazia mafuriko
NTV Kenya
1:01
Baraza la wazee wa Njuri Nceke imeanza kupatanisha viongozi wa Meru
NTV Kenya
1:33
Viongozi wa Kajiado waonya dhidi ya uchochezi wa fitina kwa wafanyakazi wa umma
NTV Kenya
1:52
Familia 2000 zilizoathirika kutokana na mkasa wa mafuriko kupata msaada ya chakula
NTV Kenya
1:23
Usafiri yatatizika baada ya barabara ya Kitale– Kapenguria- Lodwar kubomoka
NTV Kenya
0:47
Kikosi cha wachezaji 28 wa Kenya lionesses kimetajwa kushiriki Kombe la raga la Bara Afrika
NTV Kenya
1:31
Wabunge wa Kenya Kwanza watoa onyo kwa mawaziri wazembe
NTV Kenya
2:35
Watu sita waponea kifo Mto Thiba Kaunti ya Kirinyaga baada ya mafuriko
NTV Kenya
2:49
Miili miwili yaopolewa Tana River baada ya boti kuzama
NTV Kenya
5:36
Watu waliofariki waongezeka kutokana na mkasa wa mafuriko kale ya Kijabe
NTV Kenya
3:14
Vazi la kitenge lazidi kujizolea umaarufu nchini
NTV Kenya
1:36
Wakaazi wa Mathare waandamana wakilalamikia ubomoaji wa manyumba
NTV Kenya
1:51
Zaidi ya watu 40 waaga dunia katika mkasa wa mafuriko Mai Mahiu
NTV Kenya
0:57
Zaidi ya Familia 85 zimepata msaada eneo la Katelembu kaunti ya Machakos
NTV Kenya
0:46
Ukaguzi wa Waziri Murkomen huko Mai Mahiu
NTV Kenya
0:45
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko imefika 103 kwa sasa
NTV Kenya
1:49
Mwanafunzi walazimika kurudi nyumbani
NTV Kenya
0:57
Wazazi Kajiado wajipata njia panda
NTV Kenya
1:53
Walimu wa sekondari Mombasa washtumu TSC kutotekeleza matakwa yao
NTV Kenya
1:35
Mashindano ya shirikisho la riadha nchini AK yaliyoandaliwa katika uwanja wa Eliud Kipchoge Complex
NTV Kenya
1:28
Fedha kutengwa kwa ajili ya kuu karabati uwanja wa Kenyatta
NTV Kenya
4:33
Repoti Kutoka Bygettes Ngana Mai Mahiu
NTV Kenya
1:55
Mto ya Kijabe Kuadhiri watu na familia kupoteza makao yao
NTV Kenya
0:56
Serikali imetukosea kuadhimisha ufunguzi wa shule kwa wiki moja-wazazi wa kaunti ya Meru wasema
NTV Kenya
2:27
Watu wa Sita wa aga baada ya poromoko eneo la Gitugi, kaunti ya Murang'a
NTV Kenya
1:26
Chakula kupeana eneo la Limuru, katika jiko kuu la Kamandura
NTV Kenya
11:43
Mai Mahiu: Watu 45 waaga dunia baada ya bwawa la Kijabe kuvunja kingo zake
NTV Kenya
6:19
Uchaguzi wa viongozi wa chama tawala cha UDA mashinani umeanza leo katika baadhi ya kaunti.
NTV Kenya
1:45
Wanasayansi kutoka bara Afrika wakutanisha bongo kujadili mikakati ya kukabili milipuko ya magonjwa
NTV Kenya
2:48
Viongozi wawaomba walioathiriwa na mafuriko wasalie kwenye kambi hadi mvua itakapopungua
NTV Kenya
1:15
Magavana wa kaunti za Mlima Kenya wafufua ajenda ya kushinikiza mfumo wa kugawa rasilimali za umma
NTV Kenya
1:40
Madiwani wa Laikipia wasitisha shughuli za bunge wakilalamikia kukithiri kwa visa vya ujahili
NTV Kenya
2:27
Shughuli za mazishi ya baadhi ya maafisa wa KDF walioaga dunia katika ajali ya ndege zinaendelea
NTV Kenya
1:16
Nairobi City Stars wategemea kumaliza ndani ya tano bora katika ligu kuu ya FKF
NTV Kenya
0:35
Kozi za masuala ya bahari kuanzishwa na shule ya Pioneer
NTV Kenya
1:04
Vituo vya afya vimetakiwa kuthamini teknolojia mpya za kuwasajili wagonjwa
NTV Kenya
1:40
Wabunge 8 wa Uganda watembelea mradi ya kijamii katika mtaa wa Kibera
NTV Kenya
3:01
Opiyo Wandayi akana upo uporaji katika mradi wa Bunge Tower
NTV Kenya
2:08
Wadau wanataka NHIF kutorithisha SHIF madeni yake
NTV Kenya
1:09
Ukosefu wa mipango dhabiti vimechangia kuwepo kwa mafuriko, waziri Wahome asema
NTV Kenya
2:12
Wakazi wa Limuru wahamishwa kutokana na mafuriko
NTV Kenya
0:34
Jelani Kihanya na Antonia Mbuthia watwaa taji la jumla katika mashindano Gofu ya NCBA
NTV Kenya
1:14
Madaktari wa mifugo wapongeza msako unaoendelea wa madaktari tapeli
NTV Kenya
0:47
Timu ya taifa ya raga ya wachezaji chini ya miaka 20 kuchuana na Tunisia
NTV Kenya
1:49
Kampuni ya Isuzu imeandaa makala ya pili ya tuzo za mauzo katika nchi za Afrika Mashariki
NTV Kenya
4:48
Kongamano la E-Mobility lafanyika katika jumba la KICC
NTV Kenya
1:42
Kisima cha maji chafanyiwa ukarabati kupunguza mizozo ya uhaba wa maji, Isiolo
NTV Kenya
1:29
Kaunti ya Tana River yashirikiana na wadau vijijini kufadhili mradi wa afya
NTV Kenya
0:44
Mchezaji wa timu ya taifa ya mpira wa kikapu Madina Okot ametia sahihi mkataba na timu ya Amerika
NTV Kenya
1:34
Zaidi ya lita 6000 ya pombe haramu yanaswa Meru
NTV Kenya
1:01
Hali ya sintofahamu ilitanda Kiambaa baada ya mti wa Mugomo kuanguka
NTV Kenya
1:08
Teknolojia ya akili mnemba kutumika kutoa huduma za bima ya afya
NTV Kenya
1:32
Wadau wa haki za kijinsia wawasilisha hoja ya dhulma ya kinjinsia bungeni
NTV Kenya
1:36
Kanuni za trafiki: Wadau na uchukuzi walaumu polisi kwa ulegevu
NTV Kenya
2:15
Pokot Magharibi: Wakazi wa Kipkomo wajizatiti ili kupambana na changamoto za ukame
NTV Kenya
1:06
Timu za mkoa wa Nyanza Obunga FC na Plateau Queens ndio washindi w Safaricom Chapa Dimba
NTV Kenya
1:30
Kajiado: Wakazi kunufaika na mradi wa maji yanayozolewa kwa kutumia nguvu za miale ya jua
NTV Kenya
1:56
Murang'a: Wakulima wa ng'ombe wa maziwa kupata ruzuku kutoka kwa serikali ya kaunti
NTV Kenya
1:45
Shirika la Linda Mnazi na washikadau wengine waiomba serikali kuunda idara ya Mnazi
NTV Kenya
1:20
Wabunge wa Azimio wamtaka Rais Ruto kumpiga kalamu waziri wa kilimo Mithika Linturi
NTV Kenya
1:41
Nakuru: Mwanafunzi wa shule ya msingi miongo mwa washukiwa 16 - Polisi
NTV Kenya
0:50
Mombasa: Mshukiwa mkuu wa biashara haramu ya mihadarati afikishiwa mahakamani
NTV Kenya
2:04
Wakenya wapaza sauti zao kuhusu ongezeko la ajali nchini
NTV Kenya
1:52
Muhadhara wa umma wa kuzienzi kazi za Marehemu Ken Walibora katika tasnia yake
NTV Kenya
1:43
Shule za watoto walio na mahitaji maalum nchini zinatoza karo ghali zaidi kwa wazazi
NTV Kenya
1:06
Wafugaji wa Busia wanahofia kufungwa kwa soko la mifugo baada ya maradhi yasiyojulikana kuchipuka
NTV Kenya
1:22
Mwenyekiti wa KEPSHA ameitaka serikali kuwapa nyongeza ya mishahara na kuwapandisha madaraka walimu
NTV Kenya
3:20
KMPDU tawi la Magharibi imeandaa maandamano ya amani kushinikiza serikali kuyatakia matkwa yao.
NTV Kenya
2:32
Wakazi wa Nyando waelezea wasiwasi wao kufuatia mvua iliyonyesha na kusababisha madhara
NTV Kenya
1:21
Mawawakilishi wadi wamejitokeza kumtetea Gavana Sakaja kwa madai kwamba analengwa visivyo na Seneti
NTV Kenya
1:21
Afisa wa polisi aliyenaswa kwenye kamera 'akikusanya hongo' asimamishwa kazi
NTV Kenya
1:31
Infotrak: Ushuru unawanyanyasa wakenya